WAZIRI wa Uchukuzi Prof. Makame Mbarawa amesema shuguli za awali za treni ya umeme kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro zinatarajiwa kuanza Juni 14 mwaka huu ili kuruhusu kuanza safari ya kwanza ya abira kutoka Dar es Salaam hadi Dodoma Julai 25 mwaka huu.
© 2024 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED