NDANI YA NIPASHE LEO
30May 2023
Thobias Mwanakatwe
Nipashe
Ametoa agizo hilo baada ya kutembelea na kukagua miradi 12 katika Halmashauri ya Wilaya Singida na kubaini miradi inayotekelezwa wameachiwa walimu,Wenyeviti wa vijiji na watendaji wa vijiji na...
30May 2023
Romana Mallya
Nipashe
Wamesema kutokana na fedha za mafao wanazozipata askari na maofisa wa polisi kuwa kidogo, wengi wao wanakufa muda mfupi baada ya kustaafu.Wakichangia mjadala wa makadirio ya Mapato na Matumizi ya...
30May 2023
Romana Mallya
Nipashe
Imesema katika kudhibiti na kupambana na mmomonyoko wa maadili kwenye jumuiya za kidini na zisizo za kidini, Ofisi ya Msajili wa Jumuiya imesitisha shughuli za taasisi ya kidini ya Spirit Word...
30May 2023
Mary Kadoke
Nipashe
Taarifa ya LHRC ilijikita kwenye maeneo yabShirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyapori Tanzania (TAWA) pamoja na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (Tanzania Forest...
30May 2023
Sabato Kasika
Nipashe
Vitendo vya rushwa, ndivyo vinavyochangia kukwamisha shughuli za maendeleo kwa mtu mmoja na jamii kwa ujumla, hivyo ni wazi kwamba rushwa ni adui wa haki, utu na heshima ya binadamu.Kila mwaka...
30May 2023
Mhariri
Nipashe
Mkuu huyo wa wilaya ameanzisha mbio za wajawazito zenye lengo la kuondoa changamoto wanazokutana nazo wakiwa katika hali hiyo na vile vile kuwaweka katika afya bora.Alipotangaza kuanza kwa mbio hizo...
30May 2023
Nipashe
Sheria hiyo mpya itawalazimu wanaoshirki vitendo hivyo vya ushoga kutumikia hadi kifungo cha maisha jela.Biden amesema ameliagiza Baraza la Usalama la Kitaifa la Ikulu ya Marekani kutathmini...
29May 2023
Nipashe
Tukio hilo katika sehemu ya watoto wachanga katika Hospitali ya Mkoa wa Mahikeng lilidhihirika siku ya Jumamosi baada ya chapisho la Facebook kuonyesha watoto wakiwa wamevikwa blanketi za hospitali...
29May 2023
Anjela Mhando
Nipashe
Tukio hilo limetokea May 27, mwaka huu wakati Derava huyo na wauguzi wawili walipokuwa wakiupeleka mwili wa marehemu mkoani Singida ambaye alifariki Ugonjwa wa TB katika Hospitali hiyo ya Kibong...
29May 2023
Marco Maduhu
Nipashe
Wamebainisha hayo wakati wakizungumza na Nipashe ilipotembelea kwenye kijiji hicho hivi karibuni, kuona namna wananchi wanavyo nufaika na gesi asilia na changamoto zake.Mmoja wa wananchi Zuhura...
29May 2023
Julieth Mkireri
Nipashe
Wakulima hao 1,008 wanadaiwa kukusanya mahindi yao kwa mfanyabiashara aliyefahamika kwa jina la Christopher Njako ambaye baada ya kuchukua mahindi hayo aliahidi kulipa kwa wakati lakini hadi sasa...
29May 2023
Beatrice Shayo
Nipashe
Msaada huo ni cherehani moja kwa ajili ya wanafunzi kujishonea pedi za kitambaa, vifaa 40 vya kushonea pedi, katoni 55 za pedi (kutumika katika kipindi cha mvua pale pedi za kufua zitashindwa kukauka...
29May 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Taarifa hiyo imetangazwa na Spika wa Bunge la Uganda Anita Among, ambapo amesema kuwa Rais Museveni, ametekeleza majukumu yake ya kikatiba kama ilivyoainishwa na Ibara ya 91 (3) (a) ya Katiba....
29May 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
"Tunaziomba shule kuanzisha miradi ya ufugaji wa nguruwe ili kuweza kumudu nyama ya nguruwe," amenukuliwa na gazeti la New Time nchini humo akisema.Mnamo mwaka 2019, mpango wa lishe shuleni...
29May 2023
Joseph Mwendapole
Nipashe
Mwishoni mwa wiki, Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Figo wa hospitali hiyo, Jonathani Mngumi, alibainisha hayo alipozungumza katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es...
29May 2023
Elizaberth Zaya
Nipashe
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana kwa vyombo vya habari na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Justine Msejo, mtuhumiwa alikamatwa Himo mkoani Kilimanjaro.Kamanda Msejo alisema mtuhumiwa...
29May 2023
Grace Mwakalinga
Nipashe
Homera alitoa agizo hilo mwishoni mwa wiki alipoongoza harambee ya kuchangia ujenzi wa mabweni ya wanafunzi wa kike wa chuo hicho na kwamba Sh. bilioni 4.5 zinahitajika ili kukamilisha ujenzi huo...
29May 2023
Beatrice Shayo
Nipashe
Mbio hizo zilianza jana saa 12 alfajiri kutoka Ofisi ya Mkuu wa Wilaya na kumalizika katika kiwanja cha Shule ya Msingi Mazoezi.Dhumuni la Mamathon ilikuwa ni kutoa hamasa kwa wajawazito kujifungua...
29May 2023
Grace Mwakalinga
Nipashe
Mradi huo ambao uko chini ya programu ya AGRI-CONNECT, unatekelezwa katika mikoa ya Mbeya, Songwe na Ruvuma, imekuwa msaada mkubwa katika kuwawezesha wakulima wa zao la kahawa kunufaika na...
29May 2023
Hamida Kamchalla
Nipashe
Kindamba, aliwanyooshea kidole wanasiasa hao mwishoni mwa wiki, wakati alipokutana na wauguzi katika Wilaya ya Mkinga, alikokwenda kusikiliza na kutatua kero zao.“Hakuna kiongozi yeyote...