NDANI YA NIPASHE LEO

Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano wa Benki ya NBC, Godwin Semunyu(wa kwanza kushoto) na Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Masoko wa NBC, David Raymond wakiwa kwenye picha ya pamoja wakati wa uzinduzi wa zawadi watakazokabidhiwa washindi wa mbio za Kimataifa za NBC Dodoma international Marathon 2022.Kulia ni mtangazaji wa kipindi cha Joto la asubuhi, Gerland Hando pamoja na Mkurugenzi wa Uendeshaji wa EFM, Denis Busulwa.Benki hiyo imetangaza kutoa jumla ya Sh65 milioni kwa washindi wa mbio hizo zitakazofanyia Julia 31,2020 mkoani Dodoma.