Ushauri wa madaktari kuhusu vyakula uzingatiwe kikamilifu
MARA kwa mara, madaktari wakiwamo mabigwa na wabobezi pamoja na wataalamu wa lishe, wamekuwa wakitoa ushauri kuhusu namna ya ulaji bora ili kujiepusha na maradhi hasa magonjwa yasiyo ya kuambukiza.