NDANI YA NIPASHE LEO

16Mar 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
“Kwa mamlaka niliyopewa na sheria ya mifugo namba 16(2),17 ya mwaka 2003 mimi Dk. Festo Mkomba (BVM) Daktari wa mifugo Wilaya ya Ludewa natangaza kwamba Ludewa itakuwa chini ya karantini...
16Mar 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
...ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha wiki ya nenda kwa usalama barabarani huku akitoa elimu ya usalama kwa madereva bodaboda.Inspekta Duguza alitoa elimu kwa bodaboda na kuishukuru pia kampuni ya...
16Mar 2023
Nebart Msokwa
Nipashe
 Aidha, wametakiwa kushirikiana na wataalamu wa afya kufanya ukaguzi wa dawa mara kwa mara kwenye vituo vya kutolea huduma za afya na kuziondoa dawa ambazo zitabainika kuwa muda wake wa matumizi...
16Mar 2023
Nebart Msokwa
Nipashe
 Mkurugenzi wa TRIT, Dk. Emmanuel Simbua, aliyasema hayo wakati wa ziara ya ukaguzi wa miradi mbalimbali inayotekelezwa kupitia programu ya uboreshaji wa mnyororo wa thamani wa kahawa, chai na...
16Mar 2023
Vitus Audax
Nipashe
Akizungumza na waandishi wa habari, Kaimu Mkurugenzi wa BRELA, Merdad Rweyemamu, alisema vyombo vilivyopewa elimu hiyo ni vile vilivyoidhinishwa na sheria katika upatikanaji wa taarifa za wamiliki...
16Mar 2023
Cynthia Mwilolezi
Nipashe
 Mbegu hizo zilitolewa jana na wasambazaji wa mbegu zaidi ya 500 nchini wakati wa mafunzo kwa wakulima (Shamba darasa).Mafunzo hayo yaliyoandaliwa na taasisi ya usambazaji mbegu ya Balton...
16Mar 2023
Hadija Mngwai
Nipashe
Uganda itawaalika Taifa Stars Machi 24, mwaka huu katika mji wa Ismailia, Misri na timu hizo zitarudiana Machi 28, mwaka huu kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.Ofisa Habari wa TFF,...

Simba maarufu  kama ‘Bob Junior’.

16Mar 2023
Halfani Chusi
Nipashe
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA, William Mwakilema, tukio hilo lililotokea hivi karibuni ni la asili kwenye familia za simba...
16Mar 2023
Saada Akida
Nipashe
***Kila upande watamba kufanya vizuri katika michuano hiyo ili...
 Mechi hizo za robo fainali zimepangwa kuchezwa kati ya Aprili Mosi na 6, mwaka huu.Yanga itawakaribisha kwa mara nyingine Geita Gold FC kwenye Uwanja wa Azam Complex, Dar es Salaam wakati Simba...
16Mar 2023
Adam Fungamwango
Nipashe
Kwa mujibu wa takwimu za Ligi Kuu, Simba inaongoza kwa kuwa na 'hat-trick' nyingi zaidi ikiwa nazo nne, huku wachezaji wake wakiongoza pia.Timu hiyo ina wachezaji watatu waliofunga hat-trick...
16Mar 2023
Saada Akida
Nipashe
 Dilunga amerejea rasmi katika mazoezi ya timu hiyo yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Mo Simba Arena juzi baada ya kukaa nje kwa zaidi ya mwaka mmoja akiuguza jeraha.Akizungumza na gazeti hili jana...

Zitto Kabwe.

16Mar 2023
Julieth Mkireri
Nipashe
Wananchi hao waliokusanyika katika viwanja vya Wananchi Square mjini hapo,  walimweleza kiongozi wa chama hicho, Zitto Kabwe, kwamba awasaidie kuwatua ndoo kichwani kutokana na kutumia muda...
16Mar 2023
Jenifer Gilla
Nipashe
Wavuvi Pwani watoa siri nyuma ya pazia hujuma zao baharani
Simbaeli anaingia stoo ya nyumba yake, anatoa chupa yenye mafuta ya petroli ujazo lita tano, yaliyochanganywa na unga kidogo wa mbolea ya urea, utambi na kibiriti, akiwa na wenzake tisa, wanaelekea...
16Mar 2023
Beatrice Philemon
Nipashe
Wataalamu watoa elimu madhara tabianchi; maradhi, utapiamlo…
Hapo kunatajwa kugusa mifumo ya kijamii, kiuchumi,  mazingira na maliasili, kama vile hewa safi, majisafi ya kunywa, usalama wa chakula na malazi. Mfano ni hivi sasa inajionyesha hali ya...

Katibu wa Taasisi ya Jumuiya na Taasisi za Kiislamu, Shekhe Ponda Issa Ponda akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dar es Salaam jana, wakati akiiomba serikali kuwaachiwa huru mashekhe wote wanaotuhumiwa kwa ugaidi. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo hicho, Dk. Anna Henga. PICHA: SABATO KASIKA

16Mar 2023
Sabato Kasika
Nipashe
Akizungumza na waandishi wa habari makao makuu ya kituo hicho, Kijitonyama Dar es Salaam jana, Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Anna Henga, alisema kuna haja kwa serikali kumaliza kesi hiyo."...
16Mar 2023
Zanura Mollel
Nipashe
Milima, mabonde kufikia ushindi wa vita usafirishaji haramu binadamu • Marekani yaipa nchi daraja; wadau waeleza magumu
Ni zama ambazo Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, anatimza mwaka mmoja na miezi minne kazini, akiendesha mageuzi na mikakati yake kuiendeleza nchi.Ripoti ya Mwaka ya Usafirishaji Haramu wa Binadamu, ni...
16Mar 2023
Yasmine Protace
Nipashe
Pia, ugonjwa huo unawafanya watu kutumia gharama kubwa kwa ajili ya matibabu. Ni Shida inayochangiwa na baadhi ya watu kushuka kimapato, kutokana na kutumia gharama kubwa katika matibabu yake.Ugonjwa...

Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Halima Mdee.

16Mar 2023
Augusta Njoji
Nipashe
Miongoni mwa maazimio ambayo yamekosa majibu ni hatua zilizochukuliwa kwa halmashauri 155 zilibainika kushindwa kukusanya marejesho ya Sh. bilioni 47 yanayotokana na mikopo ya vijana, wanawake na...

Kaimu Mkuu wa Chuo cha Elimu ya Biashara, (CBE), Prof Edda Lwoga, akizungumza wakati wa mkutano na maofisa watendaji wakuu wa mashirika na taasisi za fedha ulioandaliwa na chuo hicho kwaajili ya kufahamiana na kutoa maoni yao namna ya kuboresha chuo hicho.

16Mar 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Hayo yalisemwa jana jijini Dar es Salaam na Kaimu Mkuu wa Chuo hicho,  Prof Edda Lwoga, akizungumza wakati wa mkutano na maofisa watendaji wakuu wa mashirika na taasisi za fedha ulioandaliwa na...
15Mar 2023
Mary Mosha
Nipashe
Hatua hiyo imekuja kutokana na matukio yanayoshika  kasi katika Hifadhi hasa ya moto, ujangili, uvamivi na shughuli za kibinadamu. Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Kirimanjaro Nurdin Babu,...

Pages