NDANI YA NIPASHE LEO

Katibu wa Taasisi ya Jumuiya na Taasisi za Kiislamu, Shekhe Ponda Issa Ponda akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dar es Salaam jana, wakati akiiomba serikali kuwaachiwa huru mashekhe wote wanaotuhumiwa kwa ugaidi. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo hicho, Dk. Anna Henga. PICHA: SABATO KASIKA