NDANI YA NIPASHE LEO

21Mar 2023
Saada Akida
Nipashe
Sasa ameigeukia Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars na kuiahidi mamilioni endapo itafuzu Fainali za Mataifa ya Afrika, Afcon 2023.Rais Samia aliahidi na ameendelea kutekeleza kutoa Sh. milioni...
21Mar 2023
Jaliwason Jasson
Nipashe
Meneja Mipango na Uhamasishaji wa Bodi hiyo nchini, Sura Ngatuni, alisema serikali inaamini mizani ya kidijitali itakapoanza kutumika itasaidia wakulima na ghala kuu kukabiliana na wizi unaofanywa na...
21Mar 2023
Saada Akida
Nipashe
Nabi yeye asema hesabu kumaliza kileleni, aigeukia TP Mazembe kwao akitaka...
WAKATI Kocha Mkuu wa US Monastir ya Tunisia, Darko Novic, akiondoka na jina la Fiston Mayele, akidai ndiye aliyefanya mambo kuwaharibikia katika Uwanja wa Benjamin Mkapa juzi, Kocha wa Yanga,...
21Mar 2023
Maulid Mmbaga
Nipashe
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na Ubalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini, ilitoa wito kwa raia wa Tanzania wanaoishi nchini humo, kuchukua tahadhari na kuwa watulivu, kujiepusha kuhusika...
21Mar 2023
Adam Fungamwango
Nipashe
Mtwara, huku vinara wa Ligi ya Championship, JKT Tanzania wakipunguzwa kasi kwa kufumuliwa mabao 2-1 dhidi ya Pan African ya Dar es Salaam.Bao pekee la Pamba lilifungwa na Rogers Gabriel dakika ya...
21Mar 2023
Joseph Mwendapole
Nipashe
Hayo yalisemwa jana na Msajili wa Hazina, Nehemia Mchechu, wakati akifungua mkutano wa mwaka 2022/23 wa wadau wa usafirishaji mizigo, uliofanyika jijini Dar es Salaam.Katika mkutano huo uliohusisha...
21Mar 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Sloti ya Deuces Wild Poker
Ukiingia katika Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, utakuta mchezo wa Deuces Wild Poker ambao ni mchezo wa karata unaopendwa na watu wengi sana duniani kote!  Mchezo huu wa Poker au karata...
21Mar 2023
Adam Fungamwango
Nipashe
Simba ilifanikiwa kutinga hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika Jumamosi iliyopita kwa kuirarua Horoya ya Guinea mabao 7-0 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam huku Yanga...
21Mar 2023
Rahma Kisilwa
Nipashe
Mbele ya Hakimu Khamis Ali Simai, Mwendesha Mashtaka Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar, Muhammed Saleh, alidai mahakamani kuwa mshtakiwa anakabiliwa na mashtaka mawili ambayo ni kuruhusu...

Tangu mwanzo wa dunia imekuwa ndoa ya mke na mume na si wanandoa wa jinsia moja. PICHA: MTANDAO

21Mar 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Ni kwa sababu mwanamume anakuwa na ndoa na mwanaume mwenzake kadhalika mwanamama naye anaoana na mwanamke mwenzake, jambo ambalo halikuwa mpango wa Mungu ambaye ndiye mkuu wa maumbile.Wiki iliyopita...
21Mar 2023
Michael Eneza
Nipashe
Kenya ikirahisisha, Tanzania ugumu ukizidi
Watumiaji na watafiti wa Kiswahili ni Tanzania na Kenya ambazo zinaanza kuwa na mielekeo tofauti katika kuunda maneno. Hata Zanzibar inaweza kujitegemea au hata kuendana na Kenya inachokifanya.Moja...
21Mar 2023
Jenifer Gilla
Nipashe
Athari hizo zimeharibu maisha ya mamilioni ya watu na kuwaweka katika hatari zaidi ya kukabiliwa na njaa, kudhoofika kiafya na kusababisha migogoro kama vile ya wafugaji na wakulima wakigombea maji,...

Trekta ya kulimia, kuvunia na kubangua mazao inayoundwa na Taasisi ya CAMARTEC ni teknolojia muhimu kwenye uwekezaji wa kimkakati wa kilimo unaoanza sasa. PICHA: MTANDAO

21Mar 2023
Gaudensia Mngumi
Nipashe
Wasomi, wataalamu SIDO, SUA, NYUMBU wawe namba 1
Anayafanya hayo kupitia mkakati wenye mipango kadhaa ikiwamo kuboresha kilimo, kuwajengea vijana uwezo yote hayo yakipewa nguvu na mfuko wa kitaifa wa kuimarisha kilimo (AGTF) utakaoanzishwa wakati...
21Mar 2023
Elizaberth Zaya
Nipashe
Wakitoa maoni yao kuhusu mkutano huo, wachambuzi wa siasa wamesema kuwa kujumuika kwa pamoja kwa wanasiasa hao ni jambo jema ambalo linawaweka watu pamoja, kuliko kuishi kwenye chuki na uhasama....

RAIS Samia Suluhu Hassan.

21Mar 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Amesema mradi huo utaifikisha nchi kwenye uwezo wa nchi kujitosheleza kwa chakula na kuilisha dunia.Alitoa onyo hilo jana baada ya kuzindua mradi huo uliopo kupitia Programu ya Building Better...
21Mar 2023
Neema Hussein
Nipashe
Akizungumza mara baada ya kutembelea katika uwanja huo Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma PIC Jerry Silaa amesema serikali inatoka fedha nyingi kwaajili ya...

Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro, Nurdin Babu akizungumza na wageni waalikwa wakati wa hafla ya chakula maalum kwa ajili ya wateja wa Benki ya Exim Tanzania mkoani humo iliyofanyika mwishoni mwa wiki ikilenga kutoa wasaa wa kujadili fursa za kibiashara, mipango ya ukuaji na huduma zitolewazo na benki hiyo katika mkoa huo.

20Mar 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Aguswa na jitihada za Exim kuwahudumia wadau wa utalii, wanawake
Akizungumza wakati wa hafla ya chakula cha jioni iliyoandaliwa na Benki ya Exim Tanzania  mwishoni mwa wiki mahususu kwa wateja wa benki hiyo.RC Babu alisema kwasasa serikali kwa kushirikiana na...

Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB,Ruth Zaipuna.

20Mar 2023
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Mwaka huu, tunaadhimisha miaka miwili ya uongozi uliotukuka na mabadiliko chanya tangu Rais Dk. Samia Suluhu Hassan aingie madarakani.Utekelezaji wa ajenda ya diplomasia ya uchumi, juhudi endelevu za...
20Mar 2023
Woinde Shizza
Nipashe
Hayo yameelezwa na malkia wa nguvu Jenifa Alphayo mshindi wa nafasi ya the best designer of the year Afrika Wear alipokuwa akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kupokea tuzo za wanawake...
20Mar 2023
Thobias Mwanakatwe
Nipashe
 Wabunge wa kamati hiyo wametoa maagizo hayo jana  baada ya kutembelea ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Ikungi inayojengwa katika kata ya Unyahati na kuelezwa na Mkurugenzi wa Halmashauri...

Pages