NDANI YA NIPASHE LEO

Mkurugenzi Mtendaji wa Selcom, Sameer Hirji (Kushoto), akiwa na Mwanzilishi na Mkurugenzi Mtendaji wa NALA,Benjamin Fernandes wakipeana mkono kuashiria uzinduzi wa ushirikiano kati ya kampuni hizo mbili katika kutoa huduma za kutuma fedha nchi za nje kwenda Tanzania, tukio lililofanyika Dar es Salaam leo juni 28,2022.