Ndege aina ya kweleakwelea wamekuwa wakiwasumbua sana wakulima hasa wa mpunga kutokana na ndege hao kuvamia mashamba na kula mazao, lakini kwa vijana wa Mkoa wa Kondoa imekuwa tofauti kwani wao wamegeuza fursa kwa kuwawinda na kuwapika kwa ajili ya kuuza kama kitoweo.