Waziri Aweso awasilisha bungeni bajeti ya Wizara ya Maji

By Frank Monyo , Nipashe
Published at 07:38 AM May 10 2024
Waziri wa Jumaa Aweso.
Picha: Bunge
Waziri wa Jumaa Aweso.

Waziri wa maji, Jumaa Aweso leo amewasilisha makadirio ya bajeti ya wizara hiyo.

"Wizara kwa kushirikiana na wadau imeanza kuandaa Mpango Kabambe wa Taifa wa Maji katika mikoa ya Rukwa, Dodoma na Njombe na zoezi hilo litaendelea katika mikoa mingine iliyobakia katika mwaka 2024/25"- Waziri Aweso