Waziri wa maji, Jumaa Aweso leo amewasilisha makadirio ya bajeti ya wizara hiyo.
"Wizara kwa kushirikiana na wadau imeanza kuandaa Mpango Kabambe wa Taifa wa Maji katika mikoa ya Rukwa, Dodoma na Njombe na zoezi hilo litaendelea katika mikoa mingine iliyobakia katika mwaka 2024/25"- Waziri Aweso
© 2024 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED