NDANI YA NIPASHE JUMAPILI

Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Legal Services Facility (LSF), Lulu Ng’wanakilala (kulia) akikabidhi mfuko wenye hotuba fupi kuhusu masuala mbalimbali yaliyojadiliwa na wadau wa sekta ya msaada wa kisheria nchini kwa Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Geofrey Pinda wakati wa kufunga Kongamano la Msaada wa Kisheria 2022 lililofanyika hivi karibuni Jijini Dodoma.