Waziri wa Madini, Antony Mavunde Leo anawasilisha Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Madini kwa Mwaka wa Fedha 2024/2025.
"Kwa namna ya kipekee nitumie fursa hii adhimu kutoa shukrani zangu za dhati kwa Mheshimiwa Rais kwa kuniamini na kunipa dhamana ya kusimamia Sekta ya Madini. Ni ahadi yangu kwa Mheshimiwa Rais, na Bunge lako Tukufu pamoja na Watanzania kwamba nitaitumikia nafasi hii kwa uadilifu, uaminifu na kwa uwezo wangu wote ili kuendeleza sekta hii muhimu"- Mhe. Antony Mavunde, Waziri wa Madini
© 2024 IPPMEDIA.COM. ALL RIGHTS RESERVED