Utamaduni wa kuvumiliana muhimu kuelekea uchaguzi
VIONGOZI na wadau wa siasa, jana walikutana jijini Dar es Salaam katika mkutano wa kitaifa kutafakari na kujenga uelewa wa pamoja kuhusu sheria za uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika baadaye mwaka huu na uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani uliopangwa kufanyika Oktoba, mwakani.