NDANI YA NIPASHE LEO
22Jun 2016
Lulu George
Nipashe
Rai hiyo ilitolewa na ujumbe wa viongozi wa serikali ya Japan na Tanzania walipokwenda katika Kijiji cha Buheloi, Kata ya Gale wilayani Lushoto kukagua miradi ya kilimo inayosimamiwa na shirika la...
22Jun 2016
Rose Joseph
Nipashe
Hivi karibuni kuliibuka mvutano mkubwa kati ya wafanyabiashara na wakulima wa zao hilo kuhusu bei ya zao hilo huku wakulima wakitaka kuuza kio moja kwa Sh. 1,145, wakati wanunuzi wakitaka kwa 643,...
22Jun 2016
John Ngunge
Nipashe
Alilitaka shirika hilo, kuongeza udhibiti ili kuzuia bidhaa zisizo na viwango zisiingie sokoni.
Alitoa changamoto hiyo juzi wakati akifungua kongamano la kimaifa la Shirika la Viwango Barani...
22Jun 2016
Marco Maduhu
Nipashe
Mwanamke huyo ambaye ni muhudumu wa baa, alidaiwa kutenda unyama huo, Juni 18, mwaka huu, mara baada ya kujifungua katika nyumba aliyokuwa akiishi.
Hata hivyo, majirani waliugundua ‘mchezo’...
22Jun 2016
Godfrey Mushi
Nipashe
Taarifa iliyotolewa jana na Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Theresia Nyangasa, inaeleza kuwa IGP Mangu ataongozana na naibu wake, Abdurahman Kaniki.
Kwa mujibu wa Nyangasa, kabla ya IGP...
22Jun 2016
Hellen Mwango
Nipashe
Rufani hiyo iliondolewa jana kabla ya kuanza kusikilizwa mbele ya jopo la majaji watatu likiongozwa na Jaji Mbarouk Mbarouk, Salum Massati na Profesa Ibrahim Juma.
Juni 20, mwaka huu, DPP...
22Jun 2016
Hellen Mwango
Nipashe
Mshtakiwa huyo alisomewa mashitaka yake mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Magreth Bankika, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Wakili wa Serikali, Simon Wankyo, alidai kuwa Juni 2, mwaka huu,...
22Jun 2016
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
"Sasa natamka rasmi kuwa ardhi hii imerudishwa kwa wananchi na imeshabadilishwa kutoka kuwa ya biashara na kuwa ya makazi…”
Mgogoro huo baina ya wananchi wa kijiji hicho na mwekezaji wa kiwanda cha Saruji cha Twiga kilichopo Wazo Hill ambao ulianza takribani miaka 15 iliyopita baada ya ya wananchi kudaiwa kuvamia eneo...
22Jun 2016
Mhariri
Nipashe
Wabunge wa Upinzani walitangaza kususia vikao vyote vinavyoongozwa na Dk. Ackson, wakisema kuwa hawana imani naye kutokana na anavyoendesha shughuli za Bunge. Kimsingi, wapinzani wanamtuhumu Dk....
22Jun 2016
Sabato Kasika
Nipashe
Akasema kuwa anatambua kuwa kuna upungufu na makosa ya kiutendaji ikiwamo kushamiri kwa rushwa na upendeleo serikalini jambo ambalo linasababisha wananchi kuilalamikia serikali na CCM.
Hii ilikuwa...
22Jun 2016
Augusta Njoji
Nipashe
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi, Ajira na Walemavu, Anthony Mavunde, alisema hayo jana bungeni mjini hapa, alipokuwa akijibu swali la nyongeza la Mbunge wa Mkuranga (...
22Jun 2016
Faustine Feliciane
Nipashe
Wawakilishi hao wa Tanzania, walianza na kichapo cha bao 1-0 ugenini nchini Algeria dhidi ya wenyeji wao Mo Bejaia Jumapili iliyopita.
Makamu Mwenyekiti wa Yanga, Clemence Sanga amesema kuwa...
22Jun 2016
Jumbe Ismaily
Nipashe
Akitoa maelezo mafupi kwa Mbunge wa Jimbo la Iramba Mashariki, Allani Kiullah, Katibu wa Ligi ya Kombe la Ng’ombe, Jumanne Mkoma wakati wa ufunguzi wa mashindano hayo, alisema wachezaji...
22Jun 2016
Faustine Feliciane
Nipashe
Sputanza imesema uamuzi wa TFF una dhamira ya kuonyesha ubabe usio na tija katika mchezo wa soka.
Akizungumza na kituo kimoja cha Redio Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Sputanza, Mussa Kisocky alisema...
22Jun 2016
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Akizungumza wakati wa kufunga mafunzo hayo yaliyofanyika kwa wiki moja, Katibu wa TOC, Filbert Bayi, alisema ujuzi walioupata makocha hao unahitajika na wengine ili kuuendeleza mchezo huo.
Kozi...
21Jun 2016
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
Cheka anashikilia mkanda wa mabara baada ya kumshinda kwa pointi bondia Geard Ajetovic katika pambano la uzito wa ‘Super Middle’ lililofanyika Februari 28, mwaka huu.
Cheka alisema kwa sasa...
21Jun 2016
Faustine Feliciane
Nipashe
Yanga ilikubali kichapo cha goli 1-0 katika mechi hiyo ya kwanza Kundi B iliyochezeshwa na marefa kutoka Morocco.
Niyonzima aliiambia Nipashe kwa njia ya simu kuwa, kikosi chao hakikuzidiwa katika...
21Jun 2016
Charles Kayoka
Nipashe
Yanatokana na utafiti na utafiti ni chanzo kizuri cha uyakinifu cha kubaini lifaalo na lisilofaa. La ukweli na lisilo la ukweli kwa jamii.
Wasomi wanapokuwa watafiti naamini wanajengea taifa lao...
21Jun 2016
Barnabas Maro
Nipashe
Hata hivyo najibu kupitia safu hii ili kuwanufaisha wengine pia badala ya kumjibu mtu mmoja mmoja. Ni vigumu kwangu kufanya hivyo.
“Habari yako mzee wangu. Leo nina maneno ambayo nahitaji maana...
21Jun 2016
Na Mwandishi Wetu
Nipashe
*Polisi wana silaha nzito, wao wana mawe
Wengi wao walikuwa wamebeba mabango yaliyokuwa na ujumbe uliosomeka 'Down with Afrikaans' na ‘Elimu kwa Wabantu’ iende kuzimu’ .
Baadhi yao, walikuwa wanaimba nyimbo za uhuru.Mkusanyiko huo wa...